Friday, October 31, 2014

WANAHABARI KILIMANJARO WATEMBELEA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MOSHI(MUWSA)

Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira(MUWSA),Florah Stanley akifanya utambulisho kwa waandishi wa habari walipotembelea Mamlaka hiyo.
Baadhi ya Wanahabari waliotembelea Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira(MUWSA)
Meneja Fedha wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Moshi(MUWSA) Joyce Msiru akijitambulisha kwa wanahabari.
Mwenyekiti wa TUICO tawi la MUWSA,Maulid Barie,Katibu wa TUICO tawi la MUWSA ,Jacob Olotu wakati wa ziara ya Waaandishi wa habari katika ofisi za Mamlaka hiyo.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira ,Mhandisi Cyprian Luhemeja akizungumza na wanahabari (hawako pichani)walipotembelea ofisi za mamlaka hiyo.
Toka shoto ni Meneja Biashara wa MUWSA,John Ndetiko ,Meneja rasilimali watu ,Michael Konyaki wakati wa kiako na wanahabari kilicho fanyika katika ukumbi wa Bodi ya MUWSA.
Baadhi ya watendaji wa MUWSA.
Meneja Ufundi wa MUWSA ,Patrick Kibasa akizungumza jambo wakati wa kikao hicho.
Meneaja Biashara MUWSA ,John Ndetiko akizungumza jambo wakati wa kikao hicho.
Mkurugenzi wa MUWSA,Mhandisi Cyprian Luhemeja akitoa maelezo kwa wanahabari kuhusu uchimbaji wa visima kwa ajili ya kuongeza uzalishaji wa maji katika vyanzo vyake.
Mkurugenzi MUWSA,Mhandisi Cyprian Luhemeja akiwaonesha wanahabari Moja ya tanki lililopo eneo la CCP ambalo linatumika kuhifadhi maji.
Mhandisi Luhemeja akionesha moja ya kisima kilichochimbwa katika eneo la matanki ya kuhifadhi maji ambacho pia kutasaidia kuongeza maji katika matanki hayo kwa ajili ya matumizi. 
Na Dixon Busagaga wa Globu 
ya Jamii kanda ya Kaskazini.







No comments: