Saturday, November 30, 2013

WALIMBWENDE WA MISS TANZANIA USA PAGEANT WAJINOA KWA MARA YA MWISHO

 Joy Kalemera kutoka New Jersey
 Faith Kashaa kutoka Alabama
 Julia Nyerere kutoka Maryland.
 Hellena Nyerere kutoka Maryland.
 Sham Manka kutoka Massachusetts.
 Doreen Rumaya kutoka Pennsylvania.
Walimbwende wa Miss Tanzania USA Pageant katika picha ya pamoja baada ya kumaliza kujinoa kwa ajili ya kumtafuta Miss Tanzania USA Pageant itayofanyika Hollywood Ballroom anuani ni 2126 Industrial Pkwy, Silver Spring, MD 20904 kati mstari wa mbele ni Miss Pageant wa kesho akifuarahia ukodak moment na washiriki. 

Walimbwende wa Miss Tanzania USA Pageant katika picha ya pamoja na waratibu wakiwemo mkurugenzi na mwanzilishi wa Miss Afrika USA Pageant Lady Kate (wa pili toka kulia mstari wa mbele), mkurugenzi na mwanzilishi wa Miss Tanzania USA Pageant Ma Winny Casey (wanne toka kushoto mstari wa mbele).

Mbunge viti maalum Chadema Mhe. Leticia Nyerere katika picha ya pamoja na Hidaya Mahita (kushoto) na Hellena Nyerere ambaye ni mwanae anayeshiriki kwenye kinyang'anyiro cha miss Tanzania USA Pageant.
 Mwanahabari wa VOA Sunday Shomari(kushoto) akimdodosa mawili matatu mlimbwende Sham Manka kutoka Massachusetts.

No comments: