Friday, August 31, 2012

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA WANAHISA WA TBL

 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),  ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya (kulia) akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 39 wa Wanahisa kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, Dar es Salaam jana.
 Mwanahisa wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Mchiwa Chedego akiuliza swali wakati wa Mkutano Mkuu wa 39 wa Wanahisa kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, Dar es Salaam jana.
Mwanahisa Arphaxar Masambu akichangia hoja wakati wa mkutano huo.

 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),  ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya (kulia) akifafanua jambo wakati wa Mkutano Mkuu wa 39 wa Wanahisa kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, Dar es Salaam jana. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria, Steve Kilindo pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Robin Goetzsche.
 Wanahisa wakiperuzi taarifa ya hesabu za kampuni hiyo kwamaka 2012/13
                              
    Sehemu ya wanahisa wakiwa katika mkutano huo wa mwaka
                         Baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni hiyo
 Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa TBL, Steve Kilindo (kushoto) akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji wake, Robin Goetzsche
                                           Baadhi ya wanahisa wakiwa katika mkutano huo
                          Mwanahisa Adrian Makelele akichangia hoja wakati wa mkutano huo
 Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Robin Goetzsche akijibu maswali ya wanahisa. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi, Cleopa Msuya.

                            Mwanahisa Zainab Ramadhan akiuliza swali kuhusu masuala ya kununua hisa
                          Mwenyekiti wa Bodi. Msuya (kulia) akijibu maswali ya waandishi wa habari
                                                   Wanahisa  wakipata kifungua kinywa
                                                      Ni msosi kwa kwenda mbele


 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),  ambayepia ni Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Robin Goetzsche.wakati wa Mkutano Mkuu wa 39 wa Wanahisa kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, Dar es Salaam jana.

 Mkurugenzi wa Fedha wa TBL, Kelvin O'Flaherty akijadiliana jambo na Katibu wa kiwanda hicho, pamoja na Mkurugenzi wA Uhuiano na Sheria wa TBL, Steve Kilindo (katikati).
Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) ikiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TBL,  Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya (katikati waliokaa) wakiwa katika picha ya pamoja na wanahisa baada ya Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa kampuni hiyo kumalizika jana jijini Dar es Salaam.

No comments: