Sunday, April 29, 2012

WASANII WA BONGO FLEVA WALIVYOPAGAWISHA MASHABIKI KATIKA SHOW YA KILI MUSIC AWARDS MKOANI DODOMA JUMAMOSI

Mshindi wa Kilimanjaro Star Search Issa akiwa Jukwaani huku akishusha burudani kwa wapenzi wa Muziki wakiojitokeza kushuhudia Tamasha kubwa la Washindi Wa Tuzo za Kili Musics Awards 2012
Mshiriki wa Shindano la Kili Star Search Juma akitoa Burudani katika show ya Washindi Wa Kili Music Award 2012 katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma 

Mamia ya Wananchi wakiwa kwenye foleni tayari kuingia ndani kwaajili ya Show ya washindi wa Kili Music Awards inayofanyika katika uwanja wa jamhuri mkoani Dodoma Mida hii
Wakazi wa Mkoa wa Dodoma wakiwa Wamejitokeza katika uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma kwenye Show ya Washindi wa Tuzo za kilimanjaro musics awards 2012

 Diamond & Ommy Dimpoz

Mdada akicheza kiduku stejini baada ya kupagawa na Show ya AT jana Katika Uwanja wa JAmhuri Mkoani Dodoma
Umati wa Wakazi wa Dodoma Wakiwa Kwa Wingi Katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma Hapo Jana katika Show ya Washindi wa Kili Music Award 2012 
 Umati wa Wakazi wa Dodoma na Vitongoji Vyake wakiwa kwenye Show ya Washindi wa Tuzo za Kili Music Awards iliyofanyika Jana katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma.Picha zote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog

No comments: