Tuesday, April 26, 2011

sherehe za miaka 47 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo

Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Kimataifa ya Hazina, wakionyesha umahiri wao wa kucheza Sarakasi wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Miaka 47 ya Muungano zilizofanyika kwenye Uwanja wa Amani Mjini Zanzibar keo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akiwasili na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange


Sehemu ya viongozi waliohudhuria


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia, wakati wa hafla ya chakula cha mchana iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu mjini Zanzibar leo baada ya kumalizika kwa sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya Muungano




Vijana wa halaiki kazini


Juu ni halaiki maalumu na chini ni baadhi ya

wananchi waliohudhuria sherehe hizo leo
Baadhi ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya waliohudhulia sherehe hizo kwenye Uwanja wa Amani mjini Zanzibar Baadhi ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya waliohudhulia sherehe hizo kwenye Uwanja wa Amani mjini Zanzibar




























No comments: