Sunday, August 8, 2010

SHEREHE ZA SIMBA DAY UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Naibu Waziri Kiongozi wa Zanzibar Mh. Juma Ali Shamhuna (kati) akiwa na viongozi wa Simba wakisimama kuwakumbuka waliotangulia mbele ya haki wakati wa maadhimisho ya Simba Day leo uwanja wa Uhuru, Dar

Friends of Simba wakimpongeza Abdallah King Kibaden Mputa kwa tuzo ya utumishi uliotukuka katika kilabu hiyo ya mtaa wa Msimbazi
Wachezaji na makocha wa Simba shereheni
Kocha msaidizi Selemani Matola akipasha moto vijana wake
Kocha wa makipa kazini
Twanga walikuwepo kupepeta
Shafii Dauda akiwa na vuvuzela
Meneja wa Simba Innocent Njovu (kati) akiwa na
makocha wasaidizi Selemani Matola (shoto) na Amri Saidi
Meneja wa Kilimanjaro Lager George Kavishe akimpongeza Musley Ruwey kwa kupokea tuzo kwa niaba ya baba yake Mzee Saleh Ruwey, mmoja wa wafadhili wakubwa wa Simba
MC Ephraim Kibonde akiwa na afisa habari wa Simba Clifford Ndimbo










No comments: