Monday, December 5, 2016

TASWIRA MBALIMBALI KATIKA SIKU YA MWISHO YA SWAHILI FASHION WEEK JIJINI DAR LEO

Muandaaji wa Tamasha la Kimataifa la Maonyesho ya Mitindo ya mavazi la "Swahili Fashion Week" ambaye pia Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya 361, Mustafa Hassanali akizungumza kabla ya kukabidhi tunzo kwa Mbunifu Bora wa Mwaka 2016, iliyokwenda kwa Mbunifu Kijana, Martin Kadinda, ikiwa ni siu ya mwisho ya Tamasha hilo kwa Mwaka huu, lililoanza rasmi Desemba 2 - 4, 2016 katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Jijini Dar es salaam.
Muandaaji wa Tamasha la Kimataifa la Maonyesho ya Mitindo la "Swahili Fashion Week" ambaye pia Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya 361, Mustafa Hassanali akimkabidhi tuzo ya Mbunifu Bora wa Mwaka 2016, Mbunifu Martin Kadinda baada ya kuibuka kinara katika nyanja hiyo, katika Usiku wa mwisho wa Tamasha la Kimataifa la Maonyesho ya Mitindo ya mavazi la "Swahili Fashion Week" , lililomalizika usiku huu katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Jijini Dar es salaam.







































































No comments: